This blog is for critical thinkers, people with open mind, ready to accept criticisms and work on them. Sharing the know-how, skills and experiences of Life and Technology at large. You are warmly welcome!!
----------------------------------------------------
Blogu hii ni kwa ajili ya wenye fikra makini wapendao kupokea na kufanyia kazi ukosoaji. Walio na mtazamo chanya tena mpana katika kushirikishana maarifa, ujuzi na uzoefu wa maisha na teknolojia kwa ujumla wake. Karibuni sana !!!
Monday, May 18, 2009
Manchester Bingwa
Ni Siku ya furaha kwa wadau wote wa Man Utd aka The Red Devils, Ambao juzi Jumamosi wametwaa ubingwa wa Premier League kwa kutoka sale (0-0) na Arsenal.
No comments:
Post a Comment