Nimependa hizo nywele zake jamani
Hata haka kasweta nako kanavutia
Mzee wetu ametulia ile mbaya, hii ndio raha ya Computer bwana!!!
Huyu nae macho mbele kwenye projector, safi sana!!
Hapa macho kwemye screen yake, pozi lake lapendeza pia!
Makamanda wangu hawa hapa. Raha hadi jamaa kulia analala, ahahaaa tehe tehe tehe!
Pozi adimu sana!
Mara style ikabadilika! Duh!
Tabasam poa kichizi, Nywele na blauzi yake zimemtoa chicha kikweli!!
Hili ni pozi la kutafakari!!
Kama anataka kucheka vile!!
Mkao wa kupiga picha! Huyu je unamjua?
Dada wa mtandio akifanya vitu vyake, mwenyewe utampenda!
No comments:
Post a Comment