Friday, April 15, 2011

Mabinti wa Twiga Stars wakiwa mazoezini

Wachezaji wa timu ya soka ya taifa ya wanawake 'Twiga Stars' wakifanya mazoezi leo asubuhi kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam, ikiwa ni maandalizi ya timu hiyo kwa ajili ya michuano ya awali ya kusaka tiketi ya kucheza fainalio za kombe la mataifa ya Afrika. Picha na Chachandu Daily