Saturday, October 22, 2011

Harusi ya Micky na Monicah ndo imemalizika hivi punde

Ni katika kanisa la Katoliki pale Njiro
Fuatana nami katika picha hizi
Hapa Bibi harusi akiingizwa

Anaingia Kanisani


Ndani ya Kanisa-Mambo na taratibu mbalimbali


Monicah akila kiapo kumkubali Micky kwa hiari yake wala hajalazimishwa

Waumini waliohudhuria wakiwabariki maharusi

Baraka toka kwa Padre



Na waliporuhusiwa kukumbatiana hawakufanya ajizi, hebu muone Monicah anavyolisikilizia kumbatio la mumewe Micky!

Na ndipo Micky akaanza kumvisha pete mkewe

Monicah nae akamalizia
Wakaanza kutoka na safari ya ukumbini ikaanza





Wanapongezana ndani ya gari


Kwaya hii ilihudumu kwa nyimbo tamu


1 comment:

Bahati Joyce Thambikeni said...

WOW!I am so sad i missed this wedding! I wish i was there to show some support :) Anyhow I am so proud of you for taking that step and doing it the right way, Congratulations to the both of you and may God bless you both abundantly.May you have a long and loving life together and May your marriage be blessed with faith, joy, and love.
With much love from your sister,
Bahati Thambikeni.