Tuesday, February 28, 2012

Utamu wa Basketball ni KUDANK!

Jeremy Evans wa Utah Jazz akiruka juu zaidi ya mtu aliekaa katika kiti wakati wa shindano maalum la kudank (Slum-Dunk) kwa nyota wa kikapu wa NBA. HAyo yalifanyika mwishoni mwa wiki hii huko Orland Florida Marekani
Missouri guard Michael Dixon (11) hold his head while Kansas guard Travis Releford waves a towel in celebration following Kansas' win over Missouri 87-86 in overtime, in Lawrence, Kan.

No comments: