Tuesday, February 21, 2012

Zito Kabwe amaliza amaliza ziara yake mkoani Tanga

Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Mh. Zito Kabwe akihutubia umati wa watu katika uwanja wa Manundu Shule ya Msingi Mazoezi jirani kabisa na stend kuu ya wilaya.

No comments: