Friday, May 11, 2012

MABOMU MAWILI YAUA KADHAA HUKO SYRIA

Moshi mzito ukifuka kutoka katika magari yaliyolipuliwa na mabomu mawili mfululizo. Milipuko hio ilitokea katika eneo la makazi ya wati Al Kazaz mjini Damascuc nchini Syria jana Mei 10, 2012.
Askari wawili wa Syria (kushoto) wakishirikana na raia wa nchi hio kubeba mwili wa mtu aliyeuawa na milipuko hio ya mabomu jana.
Mbaya zaidi milipuko hio ilitokea eneo lenye makazi ya watu na pilika zilikua nyingi kwa watu kwenda kazini na wanafunzi shuleni. Uharibifu ni mkubwa.

Ona miili ya watu imetapakaa huku wengine wakikimbia kunusuru maisha yao.

No comments: