
Mkurugenzi wa African Stars Entertainment (ASET), akitambulisha safu mpya ya uongozi wa bendi. Muddy Pizzaro anakuwa Msemaji wa bendi, Muddy K anakuwa Meneja Matukio, Omary Baraka anaendelea kuwa |Mkurugwenzi Mtendaji, Amigolas anakuwa Meneja wa Bendi, Luiza Mbutu anaendelea kuwa kiongozi wa bendi, akisaidiwa na Saleh Kupaza. Kiongozi wa wanenguaji anaendelea kuwa Maria Salome kwa wanawake na kwa wanaume anaendelea kuwa Sidy Boy. Shughuli hii imefanyika katika ukumbi wa Mango Garden, Kinondoni, asubuhi hii.

Asha akiwa amezungukwa na Waandishi

Asha akizungumza na Waandishi

Amhela Msangi wa TBC kushoto akipata kitu cha supu

Waandishi wakimsikiliza kwa makini Asha

Victor wa Spoti Starehe kulia na Kambi Mbwana wa Mtanzania

Shakour wa Global na Mateja kulia

Meza kuu, wanamuziki nas viongozi

Wanenguaji wa bendi

Mkurugenzi Mtendaji, Omary Baraka kazini

Luiza na Asha

Mabosi wapya; Muddy Pizzaro kushoto na Muddy K kulia.
No comments:
Post a Comment