![]() |
Kamanda Lema kazini |

Aliyekuwa mbunge wa Arusha Mjini (CHADEMA), Mheshimiwa Godbless Lema akiunguruma kwenye mkutano wa hadhara Manzese jijini Dar es Salaam jana.

Mwenyekiti wa Umoja wa Baraza la Vijana wa CHADEMA, John Henche (kushoto) akifuatilia kwa makini mkutano wa Chadema Manzese jana.

Mkuu wa Kurugenzi ya Ulinzi na Usalama ya Chadema, Wilfred Lwakatare (kulia) akifuatilia kwa makini mkutano wa Chadema jana.…

(Picha na Kurugenzi Ya Habari-CHADEMA)
No comments:
Post a Comment