Friday, June 15, 2012

TUZO ZA TASWA ZILIVYOFANA DIAMOND JUBILEE

Rais wa TFF, Leodegar Tenga wa pili kulia akiwa na Jellah Mtagwa kushoto kwake

Familia ya ndondi

Wadau wa ndondi
Tedi Mapunda kulia na bosi wake 

Eiphraim Mafuru kulia

Maswahiba wa siku nyingi, Shaaban Mkongwe kulia akiwa Waziri Mahadhi

Beki wa Mtibwa Salum Swedi 'Kussi'

Kaburu kulia akikabidhi tuzo

Daud Salum 'Bruce Lee' kulia akikabidhi tuzo

Athumani Hamisi akikabidhi tuzo

Asha Baraka akikabidhi tuzo

Mafuru akikabidhi tuzo

Ridhiwani Kikwete kulia akiwa na Benny Kisaka kushoto, cheko la maana

Dioniz Malinzi kushoto akikabidhi tuzo

Kapombe akipokea tuzo ya Mwanamichezo Bora Chipukizi kutoka kwa Salim Amir

Mzee Matumla akimkabidhi Kaburu tuzo ya Emmanuel Okwi

Mwenyekiti wa RT, akimkabidhi tuzo Mwanahamisi Gaucho

Aggrey Morris kushoto akipokea tuzo ya Mwanasoka Bora wa mwaka 

Ally Choky akikabidhi tuzo

Mafuru akipakia msosi

Kim Poulsen kulia

Jamal Rwambow kulia na Kaburu wakati wa maakuli

Serengeti Beer inapokolea, mambo huwa hivi...

Mzee El Maamry akimkabidhi tuzo George Tarimo

Mzee Mwinyi akimkabidhi tuzo Adolph Rishard

Mzee Mwinyi akimkabidhi tuzo Peter Tino

Mzee Mwinyi akikabidhi tuzo

Waziri Mahadhi akimpokelea tuzo marehemu baba yake, Omar Mahadhi

Kaburu akimsaidia Kapombe kupokea tuzo ya Mwanamichezo Bora wa mwaka 2011 

Juma Pinto akikabidhi tuzo

Zena Chande na swahiba zake

Shaffih Dauda kulia, Amour Hassan na Michael Maluwe

Tullo Chambo na bosi wake

Akina nani sijui hawa

BIN ZUBEIRY kulia na Shaffih Dauda

No comments: