Mgeni
Rasmi katika Uzinduzi wa Tamasha la Wazi la Filamu za Kitanzania
maarufu kama Bongo Movie linalodhaminiwa na Kinywaji cha Grand Malt,Mkuu
wa Wilaya ya Tanga Mjini,Mh. Halima Dendego (katikati) akijiandaa
kubonyeza kitufe chenye kuashiria uzinduzi Rasmi wa Tamasha hilo kwenye
Viwanja vya Tangamano,Jijini Tanga.
Mgeni
Rasmi katika Uzinduzi wa Tamasha la Wazi la Filamu za Kitanzania
maarufu kama Bongo Movie,Mkuu wa Wilaya ya Tanga Mjini,Mh. Halima
Dendego akiwahutubia wapenzi wa Bongo Movie waliofurika kwa Wingi kwenye
Viwanja vya Tangamano,Jijini Tanga kushuhudia Tamasha la Wazi la Filamu
za Kitanzania (Bongo Movie).Kushoto ni Meneja Masoko wa Kampuni ya Bia
Tanzania (TBL),Fimbo Butallah na kulia ni Meneja wa Kinywaji hicho cha
Grand Malt ambao ndio wadhamini wakuu wa Tamasha hilo,Consolata Adam.
Mkurugenzi
wa Utafiti,Mafunzo na Habari kutoka Baraza la Sanaa la Taifa
(BASATA),Godfrey Mngereza akizungumza machache kwenye Uzinduzi huo.
Meneja
Masoko wa TBL,Fimbo Butallah akizungumza machache na wapenzi wa Bongo
Movie waliokuja kwa wingi kwenye uzinduzi wa Tamasha la Wazi la Filamu
za Kitanzania (Bongo Movie) katika Viwanja vya Tangamano,Jijini
Tanga.Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Tanga,Mh. Halima Dendego na Kushoto ni
Mkuu wa Wilaya ya Mkinga,Mh. Mboni Mgaza.
Mkuu
wa Wilaya ya Tanga,Mh. Mh. Halima Dendego akipena mkono wa Pongezi na
Meneja wa Kinywaji cha Grand Malt,Consolata Adam mara baada ya kufanyika
kwa Uzinduzi wa Tamasha hilo.
Burudani ya Ngoma toka kwa kundi la Negro Camp.
Msanii wa Bongo Movie,Richie Mtambalike akionyesha umahiri wake wa kusakata ngoma.
Sebene limekolea hapa
Vijana wa IceCream Dancers wakifanya vitu vyao
Taarab pia ndani.
Salamu Meza Kuu.
Dua ya Kumuombea Marehemu Steven Kanumba.
Wasanii wa Bongo Movie.
Nembo ya Tamasha.
Toka
kulia ni Mkurugenzi wa Utafiti,Mafunzo na Habari kutoka Baraza la Sanaa
la Taifa (BASATA),Godfrey Mngereza,Meneja Mauzo wa TBL,Fimbo
Butallah,Mkuu wa Wilaya ya Tanga,Mh. Mh. Halima Dendego,Mkuu wa Wilaya
ya Mkinga,Mh. Mboni Mgaza na Mwisho ni Meneja wa Kinywaji cha Grand
Malt,Consolata Adam.
No comments:
Post a Comment