Wednesday, October 17, 2012

Kitchen Party ya Fadhila Kikula

Oktoba 7, 2012 ilikuwa ni simu maalum yaBiharusi Mtarajiwa Fadhila Kikula kukabidhiwa jiko na kupewa mawaidha ya hapa na pale kutoka kwa akina mama juu ya namna ya kutunza jiko na nyumba yake kwa ujumla. Siku hii ilikuwa ni ya Kitchen Party.
 Biharusi Mtarajiwa Fadhila Kikula akiwa katika picha ya pamoja na Mpambe wake ambayepia ni mdopgowake Sheila Kikula muda mfupi kabla ya kufundwa huko Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam.
Fadhila akiwa katika picha ya pamoja na mama zake.
 Keki ilikuwa hivi..
 Ilikuwa ni shangwe
Mama wadogo wakizungumza neno.

Wageni mbalimbali waalikwa walikuwepo.

No comments: