Friday, November 23, 2012

HUU NDIO MTAA ANAOISHI MWIMBAJI YVONNE CHAKACHAKA JOHANNESBURG.

Kwa hisani ya MillardAyo.com

Mwenyeji wangu Johannesburg South Africa ambae anaishi karibu na hili eneo aliniambia kwamba hapa ndipo anapoishi mwimbaji Yvonne Chakachaka kwenye jiji la Johannesburg bado nafukuzia kupata interview na yeye Mungu akijalia kila kitu kikiwa poa tutakua nae kwenye AMPLIFAYA ya CLOUDS FM na millardayo.com
Hapa ndio kwake.
.
Mtaa wenyewe

.

No comments: