Stori:Gladness Mallya
LICHA ya kuwa mtu mzima mwenye mtoto na wajukuu wawili, staa wa filamu Bongo, Suzan Lewis ‘Natasha’ amechumbiwa.
Habari za uhakika kutoka katika chanzo chetu makini zinasema kwamba, Natasha alivalishwa pete ya uchumba wikiendi iliyopita, Yombo – Dovya, Dar na mwanaume anayetambuliwa kwa jina Alex Humba Ludamila.
LICHA ya kuwa mtu mzima mwenye mtoto na wajukuu wawili, staa wa filamu Bongo, Suzan Lewis ‘Natasha’ amechumbiwa.
Habari za uhakika kutoka katika chanzo chetu makini zinasema kwamba, Natasha alivalishwa pete ya uchumba wikiendi iliyopita, Yombo – Dovya, Dar na mwanaume anayetambuliwa kwa jina Alex Humba Ludamila.
“Ilikuwa hafla ya siri kubwa, Natasha hakutaka kabisa waandishi wa habari na kwakweli siwezi kukutajia eneo lakini fahamu kwamba ni Yombo – Dovya. Unajua huyu ni mwanaume wake wa muda mrefu na walikuwa wakiishi pamoja lakini jamaa kaamua kuchukua jumla ndiyo maana amefuata taratibu zote,” kilieleza chanzo hicho.
No comments:
Post a Comment