Tuesday, March 26, 2013

KWA HISANI YA RAYBLOG


SAMSUNG AWARDS

Nilipata mwaliko toka kampuni ya Samsung nami sikusita kwenda walikuwa wanazindua Camera yao mpya inayokwenda kwa jina la Samsung Camera yenye ubora mkubwa sana na ina internet ndani yake yani unapiga picha na hapo hapo unaproad jamani kweli Dunia imekuwa kijiji embu tucheki mambo yalivyokuwa..

Hapa tukipata picha na kijana wangu Dulla mtangazaji wa kipindi cha Planet Bongo

Dulla

 Ben Kinyaiya..

 The Greatest nikisalimiana na Raqee Mkurugenzi wa kampuni ya I Vew Media maarufu kwa utengenezaji wa macover ya filamu Tanzania..

 Mboni na Dulla wa Planet Bongo kwenye pozi..

 Dj Mafufu na The Greatest.

 Ratiba zikiendelea.

 Ulifika muda wa droo ya samsung atakaye shinda atapatiwa Samsung camera mpya.

 Dulla akijalibu zali lake.

Mboni Masimba wa kulia akuwa nyuma katika upande wa misosi na vinywaji..

picha ya kumbukumbu, vijana wangu mmependeza sana..

Amani kwa Dj Choka..

Pozi la mwaka ilo..

Tukiwa makini kufuatilia mambo ya Samsung yanavyokwenda wadau..

 Vijana wakikandamiza misosi

 Mmoja wa mshiriki katika droo..

The Greatest na Shafii Dauda Mtangazaji wa kipindi maarufu cha michezo toka Clouds Fm

 Izzo Bussines mwanamuziki wa kizazi kipya akiwa pamoja na kaka yake  The Greatest..

 Quick Racka msanii wa kizazi kipya.

Mshindi aliyejishindia Camera mpya ya Samsung.

No comments: