WATEJA WATAHADHARISHWA WIZI WA MITANDAO YA SIMU
Afisa Utumishi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA) Kanda ya Mashariki Esuvatie Masinga akimgawia Hawa Selemani kipeperushi kinachoonyesha shughuli zinazofanywa na Mamlaka hiyo wakati wa Semina ya Majukumu ya Mamlaka ya Mawasiliano Kanda ya Mashariki iliyofanyika katika Wilaya ya Mafia kwa kuwashirikisha viongozi wa mbalimbali toka Wilaya hiyo.
No comments:
Post a Comment