This blog is for critical thinkers, people with open mind, ready to accept criticisms and work on them. Sharing the know-how, skills and experiences of Life and Technology at large. You are warmly welcome!!
----------------------------------------------------
Blogu hii ni kwa ajili ya wenye fikra makini wapendao kupokea na kufanyia kazi ukosoaji. Walio na mtazamo chanya tena mpana katika kushirikishana maarifa, ujuzi na uzoefu wa maisha na teknolojia kwa ujumla wake. Karibuni sana !!!
Monday, May 27, 2013
FEZA KESSY NDIYE MWAKILISHI WA TANZANIA BIG BROTHER AFRICA 2013
Mwakilishi wa Tanzania katika shindano la Big Brother Africa 2013, ni Mwanamuziki Feza Kessy ambaye ni mwenyeji wa Arusha. Feza mwenye umri wa miaka 25 ana elimu ya Cheti katika Teknolojia ya Habari (IT).
No comments:
Post a Comment