Rais Jakaya Kikwete amesema atahakikisha kabla ya kumaliza muda wake wa uongozi anatimiza ahadi alizozitoa ili kumpungumzia kazi Rais ajaye na kuongeza kama kutakuwa kuna mambo yamebaki atayakabidhi kwa mrithi wake hivyo wananchi wasiwe na wasi wasi.
Wewe kama mwananchi, nini maoni yako juu ya hili? |
This blog is for critical thinkers, people with open mind, ready to accept criticisms and work on them. Sharing the know-how, skills and experiences of Life and Technology at large. You are warmly welcome!! ---------------------------------------------------- Blogu hii ni kwa ajili ya wenye fikra makini wapendao kupokea na kufanyia kazi ukosoaji. Walio na mtazamo chanya tena mpana katika kushirikishana maarifa, ujuzi na uzoefu wa maisha na teknolojia kwa ujumla wake. Karibuni sana !!!
Tuesday, March 24, 2015
USIHOFU JUU YA AHADI ALIZOZITOA KWA WATANZANIA...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment