Hosea Lotashu (kushoto) na Frank Mdoe (kulia) nao nawakubali sana katika hii fani
Hawa ni Clara Mwakyoma (kushoto) na Chrstina Thadey (mwenye pozi la kuinama)
Hawa nao ni Amne (Mtaalam wa mahela), katikati ni Hosea Lotashu na kulia ni Oscar Lusako, mambo si mchezo
Hapa wanaonekana wanafunzi hao wa session 5 saa 11 jioni. Kushoto ni Njikalia Mrema, kulia ni Hamisi Majaliwa na nyuma ni Christian Kavishe.
No comments:
Post a Comment