Monday, December 19, 2011

BARCELONA YATWAA KOMBE LA KLABU BINGWA DUNIANI

Lionel Messi akishangilia na mchezaji mwenzake, Daniel Alves (2) baada ya kuifungia timu yake bao dhidi ya Santos katika mechi ya fainali ya Klabu Bingwa Duniani iliyopigwa Yokohama, Japan leo. Barcelona imeshinda bao 4-0

GLOBAL

Cesc Fabregas akiifungia Barcelona bao la tatu dhidi ya Santos katika fainali ya Klabu Bingwa Duniani iliyopigwa Yokohama, Japan leo. Barcelona imeshinda bao 4-0.

No comments: