This blog is for critical thinkers, people with open mind, ready to accept criticisms and work on them. Sharing the know-how, skills and experiences of Life and Technology at large. You are warmly welcome!!
----------------------------------------------------
Blogu hii ni kwa ajili ya wenye fikra makini wapendao kupokea na kufanyia kazi ukosoaji. Walio na mtazamo chanya tena mpana katika kushirikishana maarifa, ujuzi na uzoefu wa maisha na teknolojia kwa ujumla wake. Karibuni sana !!!
Friday, February 24, 2012
Moto wateketeza vibanda 1000 katika kambi ya Wakimbizi
Moto mkubwa ukiteketeza kambi ya wambizi kutoka Myanmar huko Um Piam magharibi ya jiji la Bangkok nchini Thailand
Mkimbizi mtoto kutoka Myanmar akiangalia kwa masikitiko vitu vilivyoteketezwa na moto huo
No comments:
Post a Comment