| Baadhi ya wakazi kijiji cha Inyumbu Mkoani Dodoma waliohudhuria sherehe ya uzinduzi wa kisima cha maji salama uliojengwa na Vodacom Foundation. |
| Hapa wakichota maji kwenye bomba mara baada ya mradi huo wa maji kuzinduliwa rasmi. |
![]() |
| Wakazi wa kijiji cha Inyumbu Mkoani Dodoma wakicheza wakifurahia mara baada ya kukabidhiwa visima vya maji |
![]() |
| Visima vyenyew vya maji ndio hivi hapa |


No comments:
Post a Comment