Wednesday, April 30, 2008

Mtoto aliyechinjwa azikwa!!


Mama mzazi wa mtoto salome yohana aliyechinjwa majuzi akiwa amepagawa kwa uchungu wakati akisaidiwa kuweka udongo kwenye kaburi la binti yake wakati wa mazishi tabata segerea jioni hii.Picha kwa hisani ya issamichuzi.blogspot.com

Tuesday, April 29, 2008

Huyu ni nani? II Who is this?

TIGO YAMWAGA TIKETI ZA ONESHO LA 50 CENT




Ikiwa zimesalia siku chache kabla ya Mwana G Unit anayetesa katika anga la Muziki wa Hip Hop 50 Cent kutua nchini, Kampuni ya Simu za mikononi ya TIGO, imemwaga tiketi za bure kwa wateja wake kwa ajili ya kuhudhuria onesho hilo, Mwana ShowBiz Richard Bukos anaporomoka nayo.

Tiketi hizo zimetolewa kwa washindi wa Bahati Nasibu ya TIGO Muziki, inayoendeshwa na kampuni hiyo ambapo katika droo ya pili iliyofanyika jana katika Makao Makuu ya Kampuni hiyo iliyopo Mtaa wa Lugoda jijini Dar es Salaam, walipatikana washindi 200 hivyo kufikisha jumla ya washindi 400 baada ya wiki iliyopita kupatikana washindi wengine wenye idadi sawa na ya jana.

“Leo tena wamepatikana washindi 200 na wale wa wiki jana wanakuwa 400 hivyo bado tuna tiketi 300 zinashindaniwa. Tunawaomba wananchi wajiunge na Mtandao wa TIGO na waendelee kushiriki shindano hili kwa kutuma neno MUZIKI au MUSIC kwenda namba 15315 ili waweze kujishindia zawadi hiyo ya tiketi ya kumshuhudia live 50 Cent,” alisema Meneja Masoko wa TIGO Kelvin Twissa.

Twissa alidakisha kuwa pamoja na shindano hilo la tiketi, Mtandao wa TIGO ni wa gharama nafuu na hivi sasa wanaendelea na Longer Longa II na XTREME ili kila mwananchi aweze kumudu gharama za huduma zao.

Thursday, April 24, 2008

Computer Fundamental Materials-IT Students

1Partitioning a hard drive
When a new hard drive is installed it is completely blank. There are no spaces where files and folders can be stored. To create those spaces a hard drive must first be divided into logical sections. These sections are called partitions. The partitioning process creates spaces of contiguous sectors on the hard drive. Each partition can receive a file system for an operating system. Without a file system the partition is useless.
A hard disk can have up to four separate primary partitions, or three primary and one extended, or two primary and one extended, or just one primary and one extended partition on one hard drive depending on the user’s needs. DOS can have up to four separate partitions on any one hard disk. The extended partition uses the free hard disk space and is normally assigned all the available space outside the primary partition(s). DOS can only address a maximum of two gigabytes (GB) of hard disk space when using FAT16. FAT32 increases the limit to two terabyte (TB) of hard disk space. File Allocation Table (FAT) is discussed later in this module.
Note: Only the primary partition on any hard drive can be designated as active. DOS, Windows 95, and Windows 98 can only manage one primary partition per hard drive. Windows NT 2000 including some third party disk management utilities can be used to manage multiple primary partitions on a hard drive. A primary partition cannot be subdivided into smaller units.
Logical Drives
When a hard drive is partitioned the extended partition uses all the free hard disk space not included in the primary partition(s). There can be only one extended partition per disk. Unlike the primary partition it can be subdivided into a maximum of 23 sections called logical drives. Having multiple logical drives inside the extended partition provides some advantages:
• Rapid retrieval of information
• Multiple operating systems such as MS-DOS and Windows 98 can be installed on the same computer. However both drives must have the same file system or FAT.
• Logical drives physically separate information for organizational and security reasons.


By creating a second logical drive on the formatted hard disk, another complete file tracking structure is created on the hard drive. Frequently the operating system views this new structure on the hard drive as a completely new disk. Therefore a unique drive letter is assigned to it as mentioned previously.
FDISK, Boot Sector, and Partition Table
FDISK is the partitioning program for MS-DOS, Windows 9x, UNIX, and Linux. When partitioning a hard drive the FDISK program creates the disk boot sector. Typically the boot sector is the first area on each logical DOS disk or partition. When formatting the hard drive the information used to boot the operating system is recorded in the boot sector.

During the partitioning process FDISK also establishes partition information. On a drive that has been partitioned the partition information is in the form of a special table called the partition table. The partition table is located in the boot sector at the very beginning of the disk. Critical information is found in the partition table including the following:
• The location and starting point of each logical drive on the disk.
• Information on which partition is marked active.
• The location of the Master Boot Record (MBR). Only bootable disks have an MBR.
It is important that the partition table is at the beginning of the disk because this is where the system looks for boot up information.



Formatting a hard drive
After partitioning the drive it must be prepared to store data. This process is called formatting. Formatting a hard drive creates magnetic tracks in concentric circles on the disk surface. These tracks are then broken into chunks of 512 bytes called sectors. The tracks of the disk are numbered from the outer edge of the disk, inward beginning with 00 (zero zero). In the computer world numbering begins with 0 (zero) instead of 1. The number of tracks per disk depends on the type of disk and the drive in use. The combination of two or more sectors on a single track is called a cluster. A cluster is sometimes called a block. The size of each cluster depends on the size of the hard disk and the version of DOS in use.
A cluster is the minimum unit DOS will use to store a file. Even if a file is only one byte long, one whole cluster will still be used to store the file. The disk capacity is determined by the number of tracks and sectors and therefore, by the number of clusters that can be created on the disk surface by formatting it.
Note: Each sector on a DOS disk holds 512 bytes. Files can be any length and a single file may occupy several sectors on the disk. On floppy disks common cluster sizes are one or two sectors long. With hard disks the cluster size may vary from one to 16 sectors in length depending on the type of disk.
In a hard disk drive where several disks are stacked and rotate on a common spindle, all of the tracks having the same number are referred to collectively as a cylinder.

Wednesday, April 16, 2008

Week 7 Assignment

This is what I have done:
I have installed Audacity software, thenI made afile in MP3 explaining my info and descriptions arround my home.
I uploaded the audio in odeo.
I uploaded my home picture in Flickr
Follow those links to find them.
I also studied the materials concerning Podcasting, Vorbis Ogg and Creative Commons, I found this part in Podcasting very interesting: it says "Making full use of podcasts' syndication features requires appropriate software, often referred to as a podcatching client. The feeds are usually distributed using RSS or Atom protocols to the podcatching client. The dominant podcatching client is Apple's iTunes player. However, there are alternatives, including Microsoft's Zune Marketplace, Juice (multiplatform), Doppler (Windows), Podget (Linux) and Podracer (Linux). Some established audio players, such as AmaroK, Winamp and Mediamonkey also offer (sometimes limited) podcatching functionality.
Many podcasts also allow users to direct download, by giving a link to the audio file in an RSS feed or web page.
Podcast listeners can listen in one of three ways: through an
MP3 player, on a computer using media player software, or with VoIP technology by calling to a virtual phone number. By dialing a phone number, you can hear a menu of available podcasts and features. Find more about it in the external links section." All these have been submitted as assignment for week 7 of the course

Friday, April 11, 2008

Week 6 Assignment

Steps I did for uploading a picture in LeMill
1. I signed in LeMill
2. I chose "Tools" link
3. A page opened and selected "Change cover image" link
4. I took an image from my harddisk which I edited using Photoshop Delux. This picture shows the highest peak in Africa, the Mt. Kilimanjaro which is in my home land Tanzania.
5. I added it in the cover.

Friday, April 4, 2008

Mama Kikwete azuru makao makuu ya UNICEF


Mama Salma Kikwete akikabidhi kitabu kinachoainisha mpango wa miaka mitano wa taasisi ya wanawake na maendeleo (wama) anayoongoza kwa naibu mkurugenzi mtendaji wa UNICEF mama hilde johnson leo huko makao makuu ya UNICEF New York. ma a johnson analonga kiswahili fasaha alichojifunza wakati anaishi moshi, mkoani kilimanjaro, na wazazi wake

Maafa Mererani: Wasimulia walivyoshuhudia wenzao wakifa migodini

WACHIMBAJI, Salim Swalehe (48) na Adamu Mussa (34) ni miongoni mwa wachimbaji zaidi ya 30 walinusurika kufa kwa maporomoko ya maji na tope kwenye migodi ya machimbo ya Tanzanite Mererani wilayani Simanjiro Mkoa wa Manyara, ijumaa iliyopita.
Wachimbaji hao, ambo hadi sasa hawaamini kama kweli walipambana na kunusurika kifo, kwa nyakati tofauti, wanaelezea jinsi walivyohangaika kwa kutumia kila mbinu kujiokoa kwa zaidi ya saa 12 katika mgodi walimokuwamo wakati maji yakijaa na kuangukiwa na mawe na tope zito.
Swalehe ambaye aliokoka wakati wenzake sita wamefariki katika mgodi unaomilikiwa na mchimbaji Benjamin Mwanga, amesema alikwisha kukata tamaa kuendelea kuishi duniani wakati akijitahidi kujiokoa.
Anasimulia kuwa, alijificha pangoni ambako maji yalimfuata na kumzidi nguvu hadi akalazimika kunywa mengi.
Swalehe ambaye alijiokoa baada ya kuhangaika kutoka chini ya mgodi huo kuanzia majira ya saa 2:00 usiku hadi saa mbili asubuhi Jumamosi, anasema hakutegemea kuokoka katika kifo kwani aliwashuhudia wenzake watatu wakifa baada ya kunywa maji mengi na kuishiwa pumzi.
" Mimi ni Mungu tu kanisaidia, kwanza wakati maji yamekuwa mengi mchimbaji mwenzangu, Fadhili Juma alipanda juu kidogo ndani ya mgodi kutazama na ghafla tulimuona akiwa amerudi huku damu zikimvuja na mawe makubwa yakimfuta na hapo tulijua tayari kifo kimetufika na ndipo tulianza kuhangaika, " anasema Swalehe.
Anaongeza kuwa, alijitahidi kujivuta kwa tumbo mithili ya nyoka kwa kupitia njia za mitobozano, lakini alikutana vipingamizi vya maji kisha, kujificha katika moja ya maeneo ya kupumzikia chini ya mgodi.
Mchimbaji huyo, anasema akiwa katika eneo hilo, kila muda ulivyosonga mbele, maji yalikuwa yakijaa kidogo kidogo na yalipofika mdomoni, alijua tayari amekufa kwa sababu alianza kuyanywa.
Anasema baada ya kunywa maji, ghafla aliona yakianza kupungua hadi chini ya kidevu chake, baadaye tumboni hatua ambayo kidogo ilimrejeshea matumaini kwa kuwa alikuwa akipata pumzi nyingi.
Anaongeza kusema kuwa, baada ya kupata matumani , alianza tena jitihada zake za kutaka kujiokoa , wakati huo, ilikuwa ni majira ya saa tisa usiku na alitembea kwa umbali mrefu kwa kuburuza tumbo huku akikutana na miili ya wenzie ambao walikuwa tayari wamefariki.
"Mimi kwa kuwa ni mzoefu kidogo, nilianza kuwaza mitobozano zaidi kwani baada ya kuona maji yamepungua nilijua nikiendelea kukaa hapo hapo sintaweza kutoka na nitakufa tu, " anasema Swalehe.
Anasema baada ya kutembea kwa muda, aliona njia ya kutokea ikiwa na matope na kuanza kuipita huku akipishana na matope yaliyokuwa yanaporomoka kwenda chini hadi alipofika juu, majira ya saa 3:00 asubuhi.
" Nashukuru Mungu nimefika duniani siamini kama kweli nimeokoka na kifo, " anasisitiza.
Katika mgodi huo alipookoka Swalehe, wenzake zaidi ya sita walifariki dunia akiwamo mtoto wa mmiliki wa mgodi huo, Kelvin Mwanga ambaye alikuwa ni mwanafunzi nchini Uganda.
Mchimbaji mwingine, Adam Mussa ambaye alikuwa anachimba katika mgodi unaomilikiwa na Elisante Stanley ambako wachimbaji wanane wamekufa anasema, bila jitihada zake, mgodi huo ungeua watu 16 kwani yeye binafsi aliokoa vijana watano.
"Tulikuwa wote chini na wenzangu wakati tunachimba ghafla mpira wa kuleta hewa mgodini ulipasuka, hivyo mimi nikapanda juu na kuwaacha wenzangu chini nikiwa na vijana watano ambao sio wazoefu kabisa, "anasema Mussa.
Anasema ghafla aliona maji mengi yakitoka juu ya mgodi kwenda chini mithili ya mto na ndipo aliwambia wenzake wakae pembeni.
Mussa anaongeza kuwa, wakati wako hapo maji yaliongezeka zaidi na bila wenzake wanane waliokuwa chini zaidi kutoka na hapo aliamini tayari kifo kimewafika.
"Niliwambia hawa vijana tulieni tujiokoe la sivyo leo tunakufa wote.... walianza kulia lakini nikawambia nyamazeni nikachukua pipe (bomba) ya hewa tukaikunja na kuelekeza maji chini kutoka pale tulipokuwa kweli iliwezekana," anasema Mussa.
Hata hivyo, anasema licha ya kuanza kupunguza maji lakini mengine yaliyokuwa juu yaliendelea kushuka chini na hapo aliwamtuma moja ya vijana kutafuta mpira mwingine ili wapunguze maji.
Anasema baada ya mwenzao kurudi alianza tena kupunguza maji kuelezea chini kabisa ya mgodi lakini haukusaidia ndipo aliwambia wenzake waondoke katika eneo hilo ambalo hutumika kama sehemu ya kupumzika chini.
" Nilianza na sisi kutafuta sehemu ya kutoka huku maji na mawe kama maporokomo yakitupiga vichani lakini tulioendelea kupanda juu mimi nilikuwa nyuma ya wenzagu nikiwaelezeka, " anasema Mussa.
Anaendelea kusimulia kuwa, kuanzia majira ya saa tatu usiku hadi saa 10:00 usiku, walikuwa wakihangaika kwenda kila sehemu ambako kuna mtobozano, wakijitahidi kupita bila mafanikio.
" Mimi nilikumbuka kuna mtobozano mwingine na nikawambia wenzangu wanifuate na nilipofika tulimkuta mwenzeru mmoja akiwa hapo akijitahidi kupita lakini alikuwa tayari amefariki, " anasema Mussa.
Anasema nao walianza kumwondoa ili wapite bila ya mafanikio kwani alikuwa amenasa katikati ya mlango wa kupitia kutokana na jiwe kubwa kumzidi.
Anasema baada ya kuhangaika kwa muda ndipo walipata njia nyingine ambayo ilikuwa na maji kiasi na kufanikiwa kutoka.
" Tunamshukuru Mungu kwani ndiye ametuokoa wenzetu wanane wamefariki, " anasema Adam.
Hadi jana katika mgodi huo, wa Elisante walikuwa wametoa chini miiili mitatu ya wachimbaji waliokufa, ukiwemo wa Kulwa Petro ambao ndio ulikuwa umeziba njia ya kutokea.
Hata hivyo, wachimbaji wote waliokoka, wamesisitiza wataendelea na kazi hiyo kwa madai bado wanatafuta maisha na hawana kazi nyingine zaidi ya kuchimba madini.
"Brother hii ndio kazi yetu siwezi kusema leo ndio mwisho wangu kuchimba baada ya kutoka nikiwa hai au nitaendelea, " anasema Mussa.
Wachimbaji wadogo zaidi ya 64 wanahofiwa kufa maji, baada ya kukumbwa na mafuriko kwenye migodi walimokuwa wakichimba madini.
Maji hayo yaliingia kupitia migodi ya De Souza ambayo haitumiki ikiwa na kina kirefu.
Migodi hiyo ambayo ndiyo ilisababisha maafa ya mwaka 1998 wakati wa mvua za El Nino, maji yaliingia tena baada ya kuvunja korongo lililotengenezwa kienyeji mwaka 1998 kutokana na agizo la serikali kutaka lifunikwe pamoja na migodi hiyo.
Tukio hilo lilitokea Machi 14, mwaka 1998 , pamoja na kuua wachimbaji zaidi ya 100, swali lake bado halijajibiwa hadi maafa mengine yanatokea mwaka huu, waliopewa fedha za kufukia migodi ya De Souza hawakufanya hivyo.
Vilevile wengi wanajiuliza kuwa, kwanini haukutengenezwa mrefeji wa kitaalam kuzuia maji kuingia tena katika migodi hiyo ya disusa na kuifikia mingine.

What is a miracle?

A miracle is: Finding your way in the dark without a light and still ending up at your destination.
A miracle is: Making minimum wage and still deriving maximum joy out of life anyway.
A miracle is: Having one small idea or dream grow into reality.
A miracle is: Though your knees are knocking together in fear you make a stand and no one even notices that your really trembling.
A miracle is: Discovering your true worth, even though you have been told repeatedly that you have none.
A miracle is: One small life finding it’s way into this world making big changes and great amounts of happiness.
A miracle is: You don’t have to be musical to be an instrument in the orchestration of the Universe.
A miracle is: A person entering your life with the right words, at the right moment.
A miracle is: When life slows down enough that we can reflect, that even in our blindness and our confusions miracles were happening everyday.
A miracle is: Its never to late to be thankful for them.

Maafa ya Mererani Mgodini

Wachimbaji( wanaapolo) wakiopoa mwili wa mmoja wa wachimbaji wenzao, jamani hata gloves hawana harufu ni kali sana!

Week5

I was very impressed in the internationalization and translation efforts that have made such a language diverse encyclopedia project. Although all are different language versions of Wikipedia, each is a perculiar project on its own.I was also intrigued by the mediation aspects of Wikipedia that are necessary for conflict resolution. It seems to be such a huge undertaking to continuously police the project for vandalism, spam, and other abuse. It is interesting that there remains a strong commitment to keeping Wikipedia open for anyone to edit. I can imagine that article conflict often arises over politically or historically-charged events. I'm sure it is not an easy task to mediate content development.

The article, The Hidden Order of Wikipedia, discusses the feature article process of Wikipedia. The article discusses commons-based peer-production and self-governance. However, much of the content focuses on the making of a Wikipedia feature article and its supporting processes. The authors examined feature articles and their "talk" pages to gain insight on the development process

I like the opinions page that accompanies each news article allowing readers to add their own thoughts. I note that there is no reporter's name on this article and the article's history page doesn't reveal full identies of the authors. I hope that there is enough anonymity assured to Wikinews reporters who could be putting themselves at risk for contributing.

Finally, I visited the WikiMedia Projects page. While familiar with many of the projects, I decided to learn more about Wikinews.I was unaware of Wikinews before visiting this page. However, I think it is an especially important project in a world where many people cannot trust the news agencies in their own regions. Or, where the news in their region may be completely ignored. I decided to look at the news account of the Olympic torch lighting .The content was similar to the coverage on the Canadian Broadcasting Corporation (CBC). I didn't read anything I didn't already know. However, it had been reported on CBC that the coverage of the protestor was never carried in the Chinese media. I wonder how many Chinese could access this Wikinews article to learn about the protestor.

Wednesday, April 2, 2008

Mt. Kilimanjaro in Tanzania not Kenya


If you are in Kenya you can ONLY SEE this mountain and if you need to climb it YOU MUST CROSS THE BORDER TO TANZANIA. Where is th mountain then? Ignorant people are forced to believe is in Kenya. That is not TRUE

Mt. Kilimanjaro is in Tanzania not Kenya!!!!!!


Kibo Peak of Mt. Kilimanjaro which is found in Tanzania and not Kenya as some ignorant people beleive. Please be informed. If you are in Kenya you will onle see the peaks BUT wont be able to CLIMB IT unless you you cross the border to Tanzania. Tourists are warmly welcom to Tanzania to confirm this!!!

Materials on Training about Human Resource

1.Importance of training before introducing performance evaluation system

To ensure effective implementation, the essential provisions of this program will be communicated to all covered employees through formal and/or informal training. The HRD will provide guidance and assistance in developing these programs so as to
· Ensure communication between the supervisor and employee. Some supervisors are more successful than others in communicating informally during the course of the year through conversation on the job, over coffee, or by on-the-spot examination of a particular project. The formal process forces contact between the supervisor and the employee, and allows each to report his or her impressions and observations.

· Review and determine how well an employee is performing in terms of the assigned tasks. Every job should be analyzed based on what criteria is important for the job. For example, it would not be prudent to encourage an employee to become more aggressive "just because good employees are aggressive" without first assessing whether the employee is already too aggressive, too passive, or is suitable for the position. Similarly, everyone does not need to become "more considerate of and sensitive to subordinate needs and feelings." Some employees may already be too sensitive and considerate.

· Bring out strengths and weaknesses of the employee in behavioral terms and clearly designate areas where improvement is required. The major purpose for evaluating the employee's basic strengths and shortcomings is to facilitate the individual's development.

Tuesday, April 1, 2008

11 REASONS WHY LADIES TODAY ARE STILL SINGLE:


1. The nice men are ugly.

2. The handsome men are not nice.

3. The handsome and nice men are Gay.

4. The handsome, nice and heterosexual men are married.

5. The men who are not so handsome, but are nice men, have no money.

6. The men who are not so handsome, but are nice men with money think ladies are only after their money.

7. The handsome men without money are after ladies money.

8. The handsome men, who are not so nice and somewhat heterosexual, don't think ladies are beautiful enough.

9. The men who think ladies are beautiful, that are heterosexual, somewhat nice and have money, are cowards.

10. The men who are somewhat handsome, somewhat nice and have some money and thank God are heterosexual, are shy and NEVER MAKE THE FIRST MOVE to ladies!!!!

11. The men who never make the first move, automatically lose interest in us when we take the initiative.

NOW WHO THE HELL UNDERSTAND MAN?" Men are like a fine wine. They all start out like grapes, and it's the ladies job to stomp on them and keep them in the dark until they mature into something you'd like to have dinner with."

Week4-Copyright Laws

At the outset it must be noted that the entire subject matter presented is a vast one the subtleties of which cannot be digested in a mere four hours. That said, the readings presented a geographical perspective of the historical background that resulted in the contemporary status of Copyright as we know it. I was impressed by the presentation by Lawrence Lessig, whose impassioned plea compared well with that of Richard Baraniuk , of “Connections” fame. Yet I was surprised at the intensity of the debate between the free as opposed to the proprietary software school.
Mr. Lessic correctly describes a situation where copyright law has evolved from a plane where it once monopolized the publication of creative works to an environment of complete freedom to the present retrenchment, where even copying and the creation of derivative works are regulated. This portrait is dominated by a system lawyers and legislators whose sole purpose is to expand the number of software patents, resulting in the present loss of previously unregulated works in the public domain or those subject to fair use. The objection is that so called “open source” software is not free because developments in technology and the Copyright law itself has improperly expanded to include control over access [freedom to read only at the website], copying and even over derivative works - a situation that is at least similar to the dreaded publishing monopolies made obselete by Donaldson v. Beckett and its progeny. Mr. Lessic urges limits on the power of the Past to control future creativity and advocates all out war against legal and legislative controls over creativity. He reasons that an environment of “free culture” will lead to the maximum creative impulse and that we must fight for a “transparent creativity”, a free and open sharing of knowledge and for the arrest of the growth of software patents as the latter’s only function is to “exclude future competitors.”
These two have complete openness from a technical, content, social, and bureaucratic (administrative) perspective. OER has openness to the technical, content and social, but is closed to the bureaucratic. What I mean by closed to the bureaucratic is that the assessment and accreditation is still closed. People can access all the open learning content that is available as OER but they still have to go through a bureaucracy to be assessed and accredited. I believe that until we have Open Access Assessment and Open Access Accreditation (OAA) OER will be severely restrained and should be renamed Open Learning Resources (OLR), because education includes assessment and accreditation.

Siku ya Wajinga

Ajabu eti Enyimba wamekosa pesa za kuja Tanzania kucheza na Simba. Hivyo Simba wamepita moja kwa moja katika raundi hio na sasa watacheza na Zamalek ya Misri.
Kazi kwako