mdau akipiga taswira ya banda la kuuzia gesi Kigamboni lililowaka moto na kutokea milipuko mikubwa asubuhi ya leo. mtu mmoja amejeruhiwa na nyumba kama tano hivi zimeharibika kutokana na mripuko huo ulioleta fadhaa kwa wakazi wa kigamboni na katikati ya jiji ambako milio ilisikika kama mabomu ya mbagala
KWA HISANI YA MICHUZI BLOG: http://issamichuzi.blogspot.com
No comments:
Post a Comment