Monday, January 30, 2012

Jione taswira tofauti za Jengo la AU-Addis Ababa Ethiopia

Ni jengo la urefu wa mita 100, sawa na uwanja wa kabumbu toka goli moja hadi lingine.

Ni mambo ya Mchina (Hun Haa!)

Sio kila kitu cha Mchina ni kibaya

Hapa ni kwa ndani

Ukumbi wa mikutano

Kitu kimesimama wima, raha sana kutazama

Si mchezo aisee!!

No comments: