Monday, January 30, 2012

Unakumbuka Tyson alivyong'ata sikio la Evander??

Rais wa Sri Lanka Mahinda Rajapaska akikagua sikio la Bondia bingwa wa zamani wa uzito wa juu Evander Holyfield katika mji mkuu Colombo leo Jumatatu Januari 30, 2012. Evander aling'atwa kipande cha sikio na bondia Tyson mwaka 1997. Rais Rajapaska alimkaribisha Evander ikulu kunywa nae chai.

No comments: