Friday, January 27, 2012

Novak Djokovic amchapa Andy Murray katika nusu fainali-Tennis

Alimpa kichapo cha 6-3, 3-6, 6-7, 6-1, 7-5 katika mashindano ya Australian Open. Ona alivyolala kwa furaha.
Hapa akimpongeza kwa kushindana naye (Andy Murray ni huyo kulia) 
Novak akirudisha mpira

Andy akishangilia kushinda seti ya 3, lakini mambo yalimgeuka baadae

Hapa ndio shughuli nzima ilipofanyika

No comments: