Friday, January 27, 2012

Usitawale nchi ukajisahau, huyu yamemkuta

Dikteta wa zamani wa nchi ya Guatemala Efrain Rios Montt afikishwa mahakamani kwa mauaji ya kimbali aliyofanya wakati akitawala nchi hiyo
Diktetea huyo akiwa mesimama katikati ya askari wa usalama wakati wa usikilizaji wa kesi yake jana Alhamisi Januari 26, 2012

Baadhi ya ndugu wa watu walioawa wakati wa utawala wa dikteta huyo, wakisikiliza kesi hiyo

Bango kubwa lenye baadhi ya picha za watu waliopotea na yaaminika waliuawa na dikteta  huyo Efrain Rios Montt 


No comments: