Tuesday, January 31, 2012

Picha mbalimbali za Harrison Mwakyembe, Samuel Sita na James Lembeli

Kumbuka ameugua sana ugonjwa wa ngozi, ona amevaa kofia na glovu kuhifadhi mwili. Samwel Sita anasema kalishwa sumu. Du mi simo aisee wanajua wenyewe. Ila inasikitisha sana.

Samwel Sita madhabahuni kanisa la Ufufuo na Uzima kwa Mchungaji Gwajima Kawe Dar es Salaam

Walio katika mapambano na ufisadi, kushoto kwenda kulia ni Anne Kilango, Samwel Sita, James Lembeli na Harrison Mwakyembe.

Hapa Mwakyembe anaonekana kwa karibu, kulia kwake ni James Lembeli

Samwel Sita akishuka ngazi

No comments: