Tuesday, January 31, 2012

Dreads/Rasta nyingi ninazoona mtaani huwa chafu kwa vile hazioshwi mara kwa mara, hizi je?

Muumini wa madhehebu ya Hindu aitwaye Sadhu akitikisa kwa nguvu dreads zake ili kuzikausha mara baada ya kuziosha katika mto, ambapo kwao wahindu hio ni sehemu ya ibada zao. Wachache sana huosha dreads zao. Nyingi hazigusi maji kwa miezi mingi tu. Usafi ni muhimu kuepuka harufu.

No comments: