Monday, January 30, 2012

Watu 26 wauawa katika tukio la moto nchini Peru.

Miili ya watu waliuawa kwa moto ikiwa imelazwa mbele ya waokoaji na zima moto. Wapo walioungua na wengine walikosa hewa na tukio hilo lilitokea katika kituo cha ukarabati wa afya za watumiaji wa dawa za kulevya kitwacho "Christ is Love" huko Lima mji mkuu wa nchi ya Peru juzi Jumamosi Januari 28, 2012.

Baadhi ya ndugu wa watu waliokumbwa na tukio hilo wakifuatilia kwa majonzi zoezi la uokoaji. Ni huzuni kwa kweli

No comments: