Saturday, February 18, 2012

Moto wateketeza soko na kuharibu vibanda 500 huko Peru

Wakazi wa jiji la Lima nchini Peru wakipekua kupata chochote katika mabaki ya maduka yao takribani 500 yaliyoteketea kwa moto

Huyu nae amejiokotea furushi la juice katika katoni

Jamaa najaribu kumwagia maji kuzima moto ili kuokoa chochote

No comments: