Wanaume wa Libya wakiwa wamebeba majeza ya ndugu zao wakienda kuwazika upya. Watu hao walifukuliwa katika kaburi la pamoja huko Bin-Jawad na waliuawa na majeshi ya Gaddafi wakati wa harakati za kumng'oa. Miili 155 ya waasi (Ambao sasa ni Watawala) ilizikwa huko Benghazi mashariki mwa Libya. Kaburi hilo ndilo lililokuwa kubwa kuliko yote lilipatikana wakati wa mapambano hayo ya kumng'oa Gaddafi, na kweli aling'olewa na kuuawa Octoba mwaka jana. Mazishi hayo yamefanyika jana Jumatatu Machi 5, 2012. |
No comments:
Post a Comment