This blog is for critical thinkers, people with open mind, ready to accept criticisms and work on them. Sharing the know-how, skills and experiences of Life and Technology at large. You are warmly welcome!!
----------------------------------------------------
Blogu hii ni kwa ajili ya wenye fikra makini wapendao kupokea na kufanyia kazi ukosoaji. Walio na mtazamo chanya tena mpana katika kushirikishana maarifa, ujuzi na uzoefu wa maisha na teknolojia kwa ujumla wake. Karibuni sana !!!
Monday, May 21, 2012
Lori lenye gesi laanguka na kufunga barabara maeneo ya Mwanga mkoani Kilimanjaro
Lori lenye tank lenye gesi likiwa limeanguka na kufunga barabara,nje kidogo ya mji wa Mwanga mkoani Kilimanjaro
Wahusika wa Gari hilo wakiwa wamekaa wakitafakari namna ya kuweza kuihamisha gesi hilo kwenye gari nyingine
No comments:
Post a Comment