Monday, May 14, 2012

MANCHESTER CITY BINGWA WA EPL MSIMU WA 2011/2012




Nahodha wa Manchester City, Vincent Kompany akiwa amenyanyua juu kombe la Ubingwa wa Ligi Kuu ya England baada ya kuwafunga QPR katika mechi ya leo.Mshambuliaji wa  Manchester City, Sergio Aguero (jezi namba 16) akiifungia timu yake bao la tatu na la ushindi dhidi ya Queens Park Rangers katika mechi iliyopigwa leo kwenye Uwanja wa Etihad mjini Manchester, England. Manchester City wametwaa ubingwa wa Ligi Kuu England kwa tofauti ya mabao na Manchester United.
 (Picha zote kwa hisani ya Getty Images)

No comments: