Monday, May 14, 2012

MDAU WA BONGO MOVIE "MAMA LORAA" AFANYA HAPPY BIRTHDAY YAKE


Mdau mkubwa sana wa Bongo Movie Club Mama Loraa alifanya party ya nguvu ndani ya mjengo wake uliopo maeneo ya Mbezi Tang Bovu, Birthday hiyo ya Mama Loraa iliudhuriwa na mastaa kibao wa hapa Tanzania twende mwenyewe ukajionee



Davina na Wema wakiwa wamewasili katika sherehe hiyo



Wema na Cloud



Mahsein Hawazi (Dr.Cheni) akiwa amepiga suti matata sana umependeza kaka



Jack Wolper niliipenda sana hili vazi lake ni hatari sana aliniambia kanunua dola alfu mbili



Mwenyekiti wa Bongo Movie (JB) akiwa na Hatman Mbilinyi wa katikati na wa Wema Sepetu wakifuraia sherehe hiyo.





Mama Loraa mwenyewe ndiyo huyo hapo wa katikati mama ongera san kutimiza miaka kapuni hata mimi mwenyewe sijui



Mama Loraa akiwa kwenye red capet kwa ajili ya kuwakalibisha wageni waalikwa na kupiga nao picha.


Jenifer Kiyaka (Odama).


Shilole na Irene Uwoya.



Mc. Chiki Mchoma



Muda wa kufungua Shampeni ulifika Jb na Wema ndio waliotufungulia shampeni hizo



Mainda.



Muda wa keki nao ukafika



Mr na Mrs Loraa na Baby Madaha(wa kulia).



Zoezi la kulishana keki liliaza Mume wa Mama Loraa akimlisha keki mke wake



Mama Loraa



Uwoya na Wema wakiteta jambo.



Single Mtambalike.



Steve Mengele (The Power).



Tino wa kwanza akiwa na Juma Chikoka(wa kati) na Jimy Mafufu



Party ikiendelea.



The Greatest(Ray).



The Greatest nikiwa na Baadhi ya wanachama wenzangu wa Bongo Movie.



Msosi time Loraa alifungua njia ya kwenda kuchukua chakula


Shilole utamaliza msosi huo



Mtitu na mkewe mtarajiwa



JB na Dr.Cheni wakipata msosi wa nguvu hiki ni kipengele muhimu sana kwa ndugu yangu Jb



Baada ya matukio yote watu walikunywa,walicheza na kufurahi kwa pamoja.

No comments: