Bendi jukwaani
Sharapova
Mpiga tumba mpya akifanya 'balaa lake', watu washamsahau MCD
Muddy Pizaro na Papa Fredito Mopao
Banza katikati, kulia Saleh Kupaza na kushoto Msafiri Diouf
Jenerali Banza Stone
Banza Stone akiwapindisha migongo wanenguaji wa Twanga Pepeta, kwa rap Pinda ya Mugongo
Wanachama wa Yanga wakila bata zao, huku wakipata burudani
Wastaarabu wakila bata zao, huku wakipata burudani
Wanenguaji wakifanya vitu vyao
Wastaarabu wakila bata zao, huku wakipata burudani
Asha Baraka kulia, Luiza Mbutu katikati na mdau wao wakijadiliana mambo
Steve Nyerere kulia na Victor Mkambi
Aliyewahi kuwa Miss Kurasini, Mwanaidi Mbwana na mwanawe kushoto na mtoto wa menguaji wa Twanga, Sharapova
Jackson Chove kulia, katikati Habib Kondo 'Mourinho' na kushoto Ally Yussuf Tigana
1 comment:
nawakubali twanga muko juu
Post a Comment