This blog is for critical thinkers, people with open mind, ready to accept criticisms and work on them. Sharing the know-how, skills and experiences of Life and Technology at large. You are warmly welcome!!
----------------------------------------------------
Blogu hii ni kwa ajili ya wenye fikra makini wapendao kupokea na kufanyia kazi ukosoaji. Walio na mtazamo chanya tena mpana katika kushirikishana maarifa, ujuzi na uzoefu wa maisha na teknolojia kwa ujumla wake. Karibuni sana !!!
Thursday, June 21, 2012
KATUNI YA GADO-Ulaya na Afrika kiuchumi
"GADO" ni jina la utani analolitumia Godfrey Mwampembwa,
mTanzania anaeishi Kenya kwa miaka mingi sasa. Nilisoma nae Azania
sekondari yeye na Makamu wa Mwenyekiti wa Simba Sports Club Geofrey
Nyange a.k.a "KABURU" wakinitangulia vidato viwili.
No comments:
Post a Comment