Wednesday, June 13, 2012

ZANZIBAR INTERNATIONAL FILM FESTIVAL

 Jumatano iliyopita Ziff walifanya uzinduzi wa maonyesho ya kimataifa( Ziff)yanayofanyikaga Zanzibar. huwa yanakusanya wasanii maproducer pamoja na madirector kutoka Nchi mbalimbali za kimataifa hii inatupaga faida kubwa sisi wasanii wa Tanzania kujitangaza Kimataifa  maonyesho yataanza miezi michache baadaye  bila shaka wasanii wengi watapeleka kazi zao kwa ajili ya tuzo za ziff kwa kujipima na kugundua uwezo na kazi nzuri ulizozifanya karibuni sana tuone mambo yalivyokuwa....

 Baada ya kuingia ukumbini hapo tu mtu mzima nikadakwa kwa ajili ya interview na waandishi mbalimbali nami sikusita kuwapa ushirikiano

 Nikiendelea kudadafua mambo kuhusu umuhimu wa ZIFF

 Mambo yakiendelea kama kwaida..

 Picha na waandaji la tamasha ilo lililofanyika ndani ya Hotel ya Slipway iliyopo Masaki

 Furaha ikazidi wadau wangu

 Nikakutana na Auntie Ezeckiel

 Mawili matatu yakaendelea na Auntie

 Auntie pamoja na washikaji zake wakiwa wanapata vinywaji

 The Greatest , Kika, Sharifa pamoja na mdau Inno Bachard Mapundazzzz tukipiga story

The Greatest na mtoto mzuri Kika mdau wa tasnia

 The Greatest na Shilole

 Jb, Ray na Cloud tukiteta jambo

 Single Mtambalike pamoja na Mkurugenzi wa Steps kampuni kubwa ya usambazaji Nchini Tanzania bwana Dilesh Solank

 Steve Nyerere na Odama

 Wolper na lisa

 Mtitu wa 5 Effect na mkewe mtarajiwa

Mwisho kabisa Lisa The Greatest pamoja na Wolper katika picha ya kumbukumbu mambo yalikuwa safi sana na wasanii walijifunza mambo mengi ya msingi

No comments: