Kama kawaida ya Bongo Movie
ushindi kwao ni jadi yao baada ya kuwafunga Bongo Fleva bao moja kwa
bila katika tamasha la Matumaini katika harakati za uchangiaji wa
ujengaji wa mabweni kwa wanafunzi wanaosoma vijijini, Jamani hii club ya
Bongo Movie imekuwa ikijitoa sana katika kazi za kijamii basi serikali
kazi kwenu nanyi kuangalia kazi zetu na kutetea maslahi yetu....
Kikosi cha mauaji cha Bongo Movie.....
Mmeona......
Bongo Movie Unit wakiingia katika Uwanja Taifa kwa ajili ya pambano lao na Bongo Fleva
Tukiwa kwenye vyumba vya wachezaji.
Bongo Movie
Barafu..
JB Mwenyekiti wa Bongo Movie Unit.
Bongo Fleva wakijiandaa kuingia uwanja kwa ajili ya pambano lao na Bongo Movie
Tukisubili mpambano kwa hamu kubwa saaaana
Washabiki wa Bongo Movie wakishangilia
Dokii akifanya mambo ndani ya Uwanja wa Taifa..
Ulifika muda wa wachezaji wote kuingia uwanjani kama mnavyoona The Greatest nikiongoza jahazi nikiwa timu kapten wa Bongo Movie
Tukinyoosha viungo...
Tukipeana mikono na Mheshimiwa Iddi Azani.
Hili ndio bench la ufundi la Bongo Movie .
Bongo Fleva ikiongozwa na H-BABA.
Baada ya kumaliza hatua zote tuliweza kupeana mikono wachezaji kwa wachezaji kama ishara ya michezo ni upendo..
Kikosi cha mauaji cha Bongo Movie.....
Hiki ni kikosi cha Bongo Fleva.
Kiduko
mfungaji wa bao pekee la kwanza lilodumu mpaka kipenga cha mwisho
ambapo Bongo Movie kuibuka kidedea kwa ushindi wa bao moja kwa bila
Bongo Movie wakishangilia ushindi kwa mbwembwe..
Hatariiiiiiii saaaaana
JB akiongea machache na Mwandishi.
Furaha ilitawala uwanja mzima..
Mmeona......
Katibu wa Bongo Movie Cloud akimkabidhi mfungaji wa bao pekee la Bongo Movie mpira mpya kama zawadi kwa nzuri aliyoifanya.
No comments:
Post a Comment