Hamu ya kumuona Didier Drogba
akicheza kwa mara ya kwanza toka aihame Chelsea na kwenda China
imetimia, hiyo hapo chini ni video ikionyesha kazi aliyoifanya Didier
Drogba muda mfupi tu baada ya kuingia akitokea benchi kipindi cha pili. Timu yake ya Shanghai ilikua imeshafungwa moja tayari lakini alipoingia Drogba alisaidia na hatimae Cao Yunding kufunga goli la kusawazisha ambapo kabla ya hapo pia, Drogba alikosakosa magoli kadhaa likiwemo la kichwa na moja baada ya kuachia mkwaju ambao ulipanguliwa kwa tabu na kipa wa Guangzhou . Hii ni mechi ya kwanza ya Drogba toka ajiunge na club hiyo ya China kwa dili la miaka miwili akiwa na mchezaji mwenzake wa zamani wa Chelsea Nicolas Anelka…. chek jinsi Drogba alivyocheza kwenye hiyo mechi yake ya kwanza ndani ya hiyo video hapo chini….. |
This blog is for critical thinkers, people with open mind, ready to accept criticisms and work on them. Sharing the know-how, skills and experiences of Life and Technology at large. You are warmly welcome!! ---------------------------------------------------- Blogu hii ni kwa ajili ya wenye fikra makini wapendao kupokea na kufanyia kazi ukosoaji. Walio na mtazamo chanya tena mpana katika kushirikishana maarifa, ujuzi na uzoefu wa maisha na teknolojia kwa ujumla wake. Karibuni sana !!!
Monday, July 23, 2012
DIDIER DROGBA AANZA KUCHEZA CHINA, HIKI NDIO ALICHOFANYA KWENYE MECHI YAKE YA KWANZA!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment