Kushoto kabisa ni Mrs. Mbise (Esther Kilimba) akifuatiwa na Mr. Samuel Masasi Deputy Software Engineering Manager |
Blogger wetu ni huyo kushoto kwa BOSS Casmir , Daudi Mlaule |
Pozi anuwai |
Hapa Esther Kilimba aliwafurahisha jambo, cheki pozi zao, Utapenda!!!! |
Hoja mbalimbali zikijadiliwa |
Hoja mbalimbali zikijadiliwa |
Meneja Masebo akifafanua jambo |
Kutoka kushoto Mishita, Masasi na Bashosho |
Esther Kilimba |
Arusha tunayo TV kubwa sana katika ofisi ya walimu, je unaiona kwa nyuma katikati ya vichwa vya mabosi? Na hapo lilikuwa tukio la kuhamasisha Sensa linalorushwa sasa hivi LIVE katika TV 7 za Tanzania |
Asanteni wakuu kututembelea Arusha na tunawatakia safari njema mchana huu kwa ndege ya saa 9 alasiri |
2 comments:
Hujuma imefanyika, hawa jamaa wameniacha hotelini, hah ! Big up Mlaule
Nawapongeza sana UCC kwa kutuwezesha vijana na watanzania kujifunza na kuingia kwenye Teknolojia ya mawasiliano kwa nja ya mtandao.
Post a Comment