TANESCO Mpya Iweje
Wapendwa
wateja wa TANESCO na wananchi wote kwa ujumla, Shirika la Umeme
Tanzania TANESCO ni mali ya Umma kwa kuwa linamilikiwa na Serikali kwa
asilimia 100. Hivyo TANESCO ni mali ya watanzania.
Kwa
kulitambua hilo, Uongozi wa Shirika umeanzisha mchakato wa kufanya
mabadiliko ya KIMUUNDO na KIUTENDAJI kwa Shirika, ili kuhakikisha kuwa
TANESCO inatoa huduma zake kwa ufanisi zaidi na kwa matakwa ya wananchi
na wateja wake.
Tunakaribisha
maoni, ushauri, mapendekezo kutoka kwa wananchi, wateja wote wenye
mapenzi mema na maendeleo ya TANESCO na nchi yetu kwa ujumla.
Tafadhali tutambue kuwa nia ya mchakato huu ni kujenga, hivyo tutoe maoni kwa nia njema.
Unaweza pia kutoa maoni yako kwa kupitia tanesco.iweje@tanesco.co.tz,
communications.manager@tanesco.co.tz au facebook kwa kutafuta neno
‘tanesco iweje’au kwa kupiga simu namba +255222451185
IMETOLEWA NA OFISI YA UHUSIANO,
TANESCO MAKAO MAKUU.
Philippines defies church to push family planning
Erik De Castro / Reuters
Residents
living in a squatters area wait for a free meal consisting of rice,
chicken and vegetables given on a daily basis by a South Korean
missionary in Tondo, Manila, Sept. 21, 2012.
The predominately Catholic country has one of Asia's fastest-growing populations together with significant levels of chronic poverty. While neighbors have accelerated towards prosperity, the Philippines has lagged. Full story…
Erik De Castro / Reuters
Mothers
stay with their babies in tandem beds at a ward often occupied by
around 300 mothers at one time, in Jose Fabella maternity hospital in
Manila, Sept. 12.
Erik De Castro / Reuters
Health
workers show the proper use of a condom during a family planning
session held in the Likhaan center, an NGO clinic in Tondo, Manila, Aug.
6. The women, who brought along their children, reacted
enthusiastically to the session. Attendees are offered free
contraception, such as pills or condoms.
Erik De Castro / Reuters
Women
hold their babies while waiting for a free pediatric check-up at a
local government health center in Manila, Aug. 6. About 50 people come
through each day to have their babies checked for common illnesses like
diarrhea and colds.
Erik De Castro / Reuters
Some
of the 14 Cabiya-an siblings sleep side by side in a cramped one
bedroom shanty in Manila, Sept. 12. The household's daily income is $6
U.S.
No comments:
Post a Comment