Wednesday, October 3, 2012



TANESCO Mpya Iweje

Wapendwa wateja wa TANESCO na wananchi wote kwa ujumla, Shirika la Umeme Tanzania TANESCO ni mali ya Umma kwa kuwa linamilikiwa na Serikali kwa asilimia 100. Hivyo TANESCO ni mali ya watanzania.
Kwa kulitambua hilo, Uongozi wa Shirika umeanzisha mchakato wa kufanya mabadiliko ya KIMUUNDO na KIUTENDAJI kwa Shirika, ili kuhakikisha kuwa TANESCO inatoa huduma zake kwa ufanisi zaidi na kwa matakwa ya wananchi na wateja wake.
Tunakaribisha maoni, ushauri, mapendekezo kutoka kwa wananchi, wateja wote wenye mapenzi mema na maendeleo ya TANESCO na nchi yetu kwa ujumla.
Tafadhali tutambue kuwa nia ya mchakato huu ni kujenga, hivyo tutoe maoni kwa nia njema.
Unaweza pia kutoa maoni yako kwa kupitia
tanesco.iweje@tanesco.co.tz,
communications.manager@tanesco.co.tz au facebook kwa kutafuta neno
‘tanesco iweje’au kwa kupiga simu namba +255222451185

IMETOLEWA NA OFISI YA UHUSIANO,
TANESCO MAKAO MAKUU. 

Philippines defies church to push family planning

Erik De Castro / Reuters
Residents living in a squatters area wait for a free meal consisting of rice, chicken and vegetables given on a daily basis by a South Korean missionary in Tondo, Manila, Sept. 21, 2012.
Reuters — Philippine President Benigno Aquino is squaring off against his country's powerful Catholic church in a bid to give people free access to the means to limit the size of their families.
The predominately Catholic country has one of Asia's fastest-growing populations together with significant levels of chronic poverty. While neighbors have accelerated towards prosperity, the Philippines has lagged. Full story…
Erik De Castro / Reuters
Mothers stay with their babies in tandem beds at a ward often occupied by around 300 mothers at one time, in Jose Fabella maternity hospital in Manila, Sept. 12.
Erik De Castro / Reuters
Health workers show the proper use of a condom during a family planning session held in the Likhaan center, an NGO clinic in Tondo, Manila, Aug. 6. The women, who brought along their children, reacted enthusiastically to the session. Attendees are offered free contraception, such as pills or condoms.
Erik De Castro / Reuters
Women hold their babies while waiting for a free pediatric check-up at a local government health center in Manila, Aug. 6. About 50 people come through each day to have their babies checked for common illnesses like diarrhea and colds.
Erik De Castro / Reuters
Some of the 14 Cabiya-an siblings sleep side by side in a cramped one bedroom shanty in Manila, Sept. 12. The household's daily income is $6 U.S.

No comments: