Sunday, November 4, 2012

HAFLA YA TUZO ZA WALIMU YAFANA DIAMOND JUBILEE


Kwaya ya Njombe ikitumbuiza Ukumbini humo.
…ikiendelea kutumbuiza.
Kikundi maalum cha ‘kusheki’ kikionesha manjonjo yake jukwaani.
Wageni waalikwa wakisimama kumpokea mgeni rasmi (hayupo pichani).
Mgeni rasmi, Profesa Emanuel Mjema akiingia ukumbini humo.
Kutoka kulia, Mwenyekiti wa Taasisi ya Eductaion and Expedition Agency Association, Violeth Kaberege, mjumbe wa taasisi, Mrs Kanal Kipingu na Mgeni rasmi Emanuel Mjema wakifuatilia hafla hiyo.
Bendi ya Joy ikitoa burudani ukumbini humo.
 
 Mgeni rasmi, Emanuel Mjema akifungua rasmi harambee ya kuchangia.
Mwakilishi kutoka Ubalozi wa Angola, Fransisco Cassanda akikabidhi cheki ya shilingi milioni moja kama mchango wa tuzo hizo.
Wadau wakiendelea kujiandikisha katika fomu maalum za ahadi.
Kwaya ya Njombe ikifuatilia uchangaji wa fedha.
Mgeni rasmi, Profesa Emanuel Mjema akipata chakula cha usiku kabla ya kuhitimisha hafla hiyo.
  HAFLA ya kuchangia mfuko tuzo za waalimu jana ilifanyika katika Ukumbi wa Diamond Jubelee ikiwa adhma waandaaji wa tuzo hizo, Taasisi ya Education and Expedition Agency Association ilikuwa ni kuchangisha zaidi ya shilingi milioni 900 kufanikisha tuzo hizo zitakazotolewa hapo baadaye.
PICHA/ HABARI : ERICK EVARIST NA GLADNESS MALLYA/GPL

No comments: