Friday, May 31, 2013

TWANGA WALIVYOITEKA MAISHA CLUB USIKU WA KUAMKIA LEO


Muimbaji wa bendi hiyo, Kalala Junior, akibwagiza moja ya wimbo huku wanenguaji nao wakionyesha kazi zao.

Kiongozi wa bendi hiyo, Luiza Mbutu (wa pili kutoka kushoto) akizungusha nyonga sambamba na wanenguaji hao.…
Mnenguaji Mary Hamisi, akionyesha uwezo wake.

Kalala Junior (wa pili kulia) akiwa na wanenguaji wa kiume wa bendi hiyo.

Waimbaji wakiwajibika jukwaani.

BENDI ya African Stars ‘Twanga Pepeta International’, usiku wa kuamkia leo waliiteka vilivyo Club ya New Maisha baada ya kuporomosha bonge la Burudani.
(Habari/Picha: Musa Mateja/GPL)

No comments: