This blog is for critical thinkers, people with open mind, ready to accept criticisms and work on them. Sharing the know-how, skills and experiences of Life and Technology at large. You are warmly welcome!!
----------------------------------------------------
Blogu hii ni kwa ajili ya wenye fikra makini wapendao kupokea na kufanyia kazi ukosoaji. Walio na mtazamo chanya tena mpana katika kushirikishana maarifa, ujuzi na uzoefu wa maisha na teknolojia kwa ujumla wake. Karibuni sana !!!
Thursday, December 24, 2009
Heri ya Krismas wadau wote msomao blog hii!
Mimi Mlaule DJ na familia yangu tunapenda kuwapa heri ya Krismas, muwe na sikukuu yenye amani, utulivu na barka tele. Mungu muumba mbingu na nchi na vitu vyote awabariki sana!
No comments:
Post a Comment