This blog is for critical thinkers, people with open mind, ready to accept criticisms and work on them. Sharing the know-how, skills and experiences of Life and Technology at large. You are warmly welcome!!
----------------------------------------------------
Blogu hii ni kwa ajili ya wenye fikra makini wapendao kupokea na kufanyia kazi ukosoaji. Walio na mtazamo chanya tena mpana katika kushirikishana maarifa, ujuzi na uzoefu wa maisha na teknolojia kwa ujumla wake. Karibuni sana !!!
Monday, December 28, 2009
Yanga ndio mabingwa wa Tusker 2009
wachezaji wa Yanga pamoja na baadhi ya viongozi wao wakishangilia kombe hilo jana baada ya kuifunga timu ya Sofapaka tokaKenya bao 2-1 katika uwanja wa Taifa
No comments:
Post a Comment