Kikosi cha askari wa kutuliza ghasia-Field Force Unit a.k.a Fanya Fujo Uone kikipita mbele ya Amiri Jeshi mkuu kwa heshima katika mwendo wa haraka.
Amiri Jeshi mkuu wa majeshi ya Tanzania, Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua gwaride katika sherehe ya miaka 48 ya uhuru wa Tanganyika zilizofanyika jana katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam
No comments:
Post a Comment