Thursday, September 2, 2010

Eliza wa TZ avishwa pete ya uchumba na Kelvin


Ilikuwa ni kama utani katika nyumba ya Big Brother katika shindano lilopita kwa kijana Kelvin kumsalandia dada yetu Elizabeth Gupta lakini siku zote waswahili wanasema hatafutae huwa achoki na akichoka ujue kapata.Ndani kabisa ya ukumbi wa comedy club port Harcout Kelvin chuwang na Elizabeth walipopanda kwa pamoja kuimba wimbo wa kelvin "una pata mambo" baada ya kumaliza kuimba ndipo kelvin akapiga magoti na akatoa pete na kumwambia Lizzy "Elizabeth will you marry me"basi tena dada yetu hakuwa na neno tena.


Kelvin akiwa na Elizabeth.Nadhani wadu mtakumbuka zaidi Danger zone

Kelvin na Elizabeth wakiwa ndani ya Abuja

No comments: