Tuesday, December 27, 2011

Jengo lalipuka huko China-Ila sio kwa Bomu bali limetitia/poromoka

Jengo kongwe la ofisi lenye urefu wa mita 80 kwenda juu, likiporomoka siku ya X-Mass December 25, 2011 huko Kunming katika jimbo la Yunnan nchini China

Vumbi kubwa likitimuka mara baada ya jengo hilo kuanguka

Wananchi wakipita kando ya mabaki ya jengo hilo

No comments: